- Msanii Stvo Simple Boy awachangamsha wanamitandao baada ya kupakia picha akiwa na mwanamke mzungu
Msanii chipukizi Stephen Otieno almaarufu Stivo Simple Boy kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram amewachangamsha wanamitandao baada ya kupakia picha akiwana mwanamke mzungu.
Baada ya kupakia picha hiyo aliandika usemi wake ambao anaupenda wa 'Ndio manake'.
Wanamiandao hawajaweza kutulia baada ya kuona picha hiyo na hizi hapa baadhi ya hisia zao;
alex_mwakideu: Hapo sawa kabisa! Shikilia kabisaaaa!!!!
khaligraph_jones: Ndio Maanake, rada safi
vincent_vitalis_okech: Alaaaaa!!!!!!please show us the way master
robiemilly: Aki wewe pesa ππππ
c.a.r.o.l._m: ππHeri ww Stivo
mike_clatch: Give us the way masterπ’π’π’π’
jahrso: Stivo huyu ndio amechukuwa ile kituπ mvumilivu hula mbivu walaiπ
maxcurry38: Kweli vitu ni simple na wwπ₯Ί...SASA ww hii baridi uko Tu glory! glory!
millymanyara: Harusi tunayo hatuna???π₯π₯π₯
petermalovez: shika mtoto acha uoga
Msanii huyo alifahamika sana baada ya kutoa kibao chake cha 'mihadarati'.
Hii hapa picha hiyo