Msanii wa nyimbo za injili Janet Otieno, yuko kwenye aombolezi baada ya kumpoteza baba yake mzazi.
Alitangaza habari hizo kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram, huku akiwaomba mashabiki wawaeke kwa maombi hasa wakati huu mgumu.
"Kumpoteza mzazi sio jambo rahisi, moyo wangu umevunjika kwa vipande, hamna kitu ambacho kingeniandaa kwa uchungu ambao napitia sasa
Lala salama papa, milele utakuwa kwenye iouo yetu, tafadhali tukumbukeni kwa maombi wakati huu mgumu tunapoomboleza," Aliandika Janet.
Hizi hapa jumbe za mashabiki wakimtia moyo msanii huyo;
massawejapanni: Oooooooh😢😢😢😢😢Take heart dear