In Summary
•Omosh alikabidhiwa nyumba ambayo alijengewa na wadhamini siku ya Jumatano kwenye hafla iliyohudhuriwa na baadhi ya wasanii mashuhuri kama vile Jalango, Fred Omondi, DJ Shiti kati ya wengine.
•Mtangazaji Jalang'o alimkabidhi bango ambalo lilikuwa limeandikwa 'Mali hii si ya kuuzwa' na akampa ushauri kuwa asishawishike kuuza nyumba ile.