In Summary
  • Amber Ray azua mdahalo mitandaoni baada ya madai haya
Amber Ray
Image: Hisani

Baada ya mwanasosholaiti Amber Ray kuthibitisha kwamba wameachana na Jimal Rohosafi kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram amesema kwamba kuvunjika moyo huwa kuna msumbua siku mbili ya tatu anakuwa sawa.

Kweli mashabiki, na wanamitandao walithibitisha maneno yake mkewe Jimal kwamba maembe ni ya msimu.

Pia kwenye sekta ya Q na A na mashabiki wake alisema kwamba alilia baada ya kuachwa, bali anaendelea vyema.

PIa alisema kwamba atafuta picha zake na Jimal kwenye mitandao ya kijamii.

"Heartbreak uniweza siku mbili tu,ya tatu narudi soko," Aliandika Amber Ray.

Pia kupitia kwa picha nyingine aliyopakia alisema kwamba hatakata tamaa katika mapenzi heri aache imuue.

"We ainโ€™t giving up na love... Wacha ituue tu๐Ÿ˜…,"

Hizi hapa baadhi ya jumbe za mashabiki;

musad5315: Cku hizi atukai sana ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

ayuunialeyki: Mdomo ukiacha ungekuwa na boss moves bt ujinga ndio inakurudisha nyuma

salimamureithi: Ati president of second wives ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ

susanmaina.kenya: Sawa basi good luck hope u get a serious single man๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ

884.amina: You should stop hating this lady๐Ÿ˜‚ can't you see you wasting your time๐Ÿ˜‚ huyu dem ni mstrong manze๐Ÿ‘

View Comments