In Summary
•Alipokuwa anajibu swali la shabiki wake mmoja aliyetaka kujua hali yake ya ndoa, mwanasoshalaiti huyo amesema kuwa kwa sasa ako 'single' na hata hatafuti mchumba.
•Mwanasoshalaiti huyo kutoka Uganda ana watoto wawili pamoja na Diamond na wengine watatu kutoka ndoa yake ya kwanza na mume wake wa kwanza marehemu Ivan Semwanga ambaye alifariki mwaka wa 2017, miaka minne baada yao kutengana.