In Summary
• Msanii na mtangazaji almaarufu Majimaji ametangaza kuwa anakwenda kuachia kibao kipya na kundi la Ethic Entertainment.
• Majimaji aliachia picha yake pamoja na wasanii wa kundi hilo wakinywa staftahi huku akiandika kwamba kuna ngoma ambayo wanaandaa na mashabiki wataifurahia hivi karibuni.