'Aitwe Majuto' Yaone majina yaliyopendekezwa kwa mtoto wake Diamond anayemtarajia
Tanasha mwenye umri wa miaka 24, ni mjamzito wa miezi saba, ambayo ina maana kuwa baada ya miezi miwili atajifungua.
(PLEASE ADVICE THE NAME……..👇🏼)NYINYI NI NDUGU ZANGU……NYINYI NI FAMILIA YANGU….MNA KILA HAKI YA KUPENDEKEZA JINA LA MTOTO WETU TUMUITE NANI……TAFADHALI PENDEKEZA👇🏼
[Y’ALL ARE LIKE MY FAMILY AND HAVE A RIGHT TO SUGGEST A NAME FOR OUR NEWBORN CHILD. WHAT NAME SHOULD WE GIVE TO HIM? PLEASE BE NICE.]
2019soul2019soul Aitwe majuto maana next year mda kama huu Tanasha atakua na majuto mengi sana. 😂.
lukmamy Kaylan kwa vile nimkenya utakua na nylan dylan na kylanchriskirwaDiaTana … jina Nzuri hilo
dunga_santuri_trinity Mansa Musa Dangote
akiliyababu Jina ni kimonyoski
smashbracket Chibuuuu dangoteeeee!!! Sharp shooter congratulations bro
iam_niryh Muite mwakitombile 😊
fetty.ommy kipindi ulikuwa unampa mimba ulituomba ushauri
trishercriss Shing’weng’we😂😂
malkiawaudaku Masumbuko