26 December 2019 1 Min Read
PICHA: Jinsi wakenya walivyosherehekea Krismasi
by Brian Ndungu Habari
Waumini katika kanisa la Legio Maria African Mission church wahudhuria misa usiku wa kuamkia Krismasi katika eneo la Fort Jesus Nairobi, Kenya December 25, 2019.
PICHA: REUTERS
Watoto wajibamba katika bustani ya Uhuru katika siku kuu za Krismasi Nairobi, Kenya December 25, 2019.
PICHA: REUTERS
Wanakwaya waimba nyimbo za Krismasi katika kanisa la Holy Family Basilica Nairobi, Kenya December 25, 2019.
PICHA: REUTERS
Waumini katika kanisa la Legio Maria African Mission church wahudhuria misa usiku wa kuamkia Krismasi katika eneo la Fort Jesus Nairobi, Kenya December 25, 2019.
picha: REUTERS
Wakenya katika bustani ya Uhuru wakiendesha merry-go-round jana katika siku kuu za Krismasi
PICHA: REUTERS
Mtoto arembeshwa uso Nairobi, Kenya December 25, 2019.
PICHA: REUTERS