Wanamuziki wa nyimbo za injili wamekuwa wakiibua hisia mseto miongoni mwa wafuasi wa nyimbo hizo haswa katika ujumbe wanaoudhamiri kuutoa.

Wengine wamekuwa wakishirikiana na wanamziki wanaofanya nyimbo za kizazi kipya, hatua ambayo wengi wameiona kama ya kupotoka na kupoteza maadili.

Hapa ni baadhi ya maoni ya watu.

 Aki nafikiria hataendelea kufanya mziki wa aina hii .

 AKI SASA NDO NINI? KENYAN GOSPEL !!!!!!

 Waa hii ni gospel kweli, hata kama 😢

 Itachezwa tu si unajua mzee ndo dj!!!

 😂😂😂😂😂 Waah Aki wasanii wa injili wakenya tuwapeleke wapi?,coz vitu munaimba ata shetani anawashangaa nani anawafunza