01 May 2020 1 Min Read
Mchakato wa kutafuta miili ya maafisa waliosombwa na mafuriko imeanza
by Yusuf Juma Habari
NA NICKSON TOSI
Shughuli ya kutafuta miili ya maafisa waliosombwa na mafuriko katika kaunti ya Baringo imeng'oa nanga katika mtoo Kagir.
Kufikia sasa miili 3 kati ya sababu iliyozama imepatikana .
tazma picha hizi
Maafisa hao wa usalama walisombwa na mafuriko hayo walipokuwa katika harakati za kulinda usalama.