EW65pO1X0AAqkBD

NA NICKSON TOSI

Shughuli ya kutafuta miili ya maafisa waliosombwa na mafuriko katika kaunti ya Baringo imeng'oa nanga katika mtoo Kagir.

Kufikia sasa miili 3 kati ya sababu iliyozama imepatikana .

tazma picha hizi

Maafisa hao wa usalama walisombwa na mafuriko hayo walipokuwa katika harakati za kulinda usalama.

View Comments