01 August 2020 1 Min Read
Tanzia:Mhadhiri wa UoN Ken Ouko afariki dunia kwa ajili ya Covid 19
by Yusuf Juma Habari
Mhadhiri wa chuo kikuu cha Nairobi anayefahamika na wengi na mwanasosholojia Ken Ouko ameaga dunia .
Mkurugenzi wa mawasiliano wa chuo hicho John Orindi amethibitisha kwamba Ouko amefariki jumaosi asubuhi baada la kulazwa hospitalini .Ouko ameaga duni kwa ajili ya virusi vya corona .
Aliyekuwa afisa mkuu mtendaji wa Nasa Norman Magaya ni miongoni mwa waliotumia twitter kuomboleza kifo cha Ouko
https://twitter.com/amugira/status/1289449533177569280
Aliyekuwa mgombeaji wa kiti cha ubunge cha Kibra Eliud Owalo pia alimuomboleza Ken kupitia twitter akisema ;
https://twitter.com/EliudOwalo/status/1289459625566171136