'Lala salama mke wangu bado naota,' Meneja wa Diamond Babu Tale aomboleza
Babu Tale amezungumza kwa mara ya kwanza baada ya siku 45, baada ya kifo cha mkewe kilichotokea ghafla, Babu ambaye anawania kiti cha ubunge katika jimbo la Morogoro aliposti video ya mkewe na kusema kuwa hadi leo hakuwahi amini kifo cha mke wake.
βRIP MY WIFE πππ NI 45 DAYS TANGU UMENIACHA MAMA TT NAHISI BADO NIPO KWENYE NDOTO." Babu Aliandika.
Mashabiki wake waliomboleza naye na hizi hapa baadhi za jumbe zao;
shadrackvum R.i.p mbele yake nyuma yetu
i_am_atha Pole sana kaka
celebritycommentz Allah amrehemu na akupe subra InshaaβAllah
linexsundaymjeda Pole sana brother π
samwelp Pole sana Boss yote mipango ya Mungu
habibuled Pole sana ndugu yangu.
mbosso Daah Pole Sana Boss Tale ..Mwenyezi Mungu akupe nguvu Inshaallah π
queendarleen ππ Baba mungu akupe nguvu inshaallah π
wolperstylish Pole sana
gracematata Mungu akupe faraja na amani ndugu yangu ππΎππΎ
hebrontraveller Pole sana mkuu dunia njia⦠Mungu akutie nguvu ni ngumu kuzoea
Hii hapa video hiyo;
https://www.instagram.com/p/CDvxzqnBjuD/?utm_source=ig_embed&utm_campaign=loading