17 September 2020 1 Min Read
Lulu Hassan awafurahisha mashabiki baada ya kupakia picha yake ya zamani Instagram
by Grace Muia Habari
Mwanahabari wa runinga ya Citizen Lulu Hassan amewafurahisha mashabiki wake baada ya kupakia picha yake ya zamani kwenye ukurasa wake wa Instagram.
Picha hiyo alikuwa katika shule ya upili, huku wengi wakitoa maoni yao tofauti,baada ya kuposti picha hiyo Lulu aliandika ujumbe mfupi unaosoma,
"Ohh!!Muda huyoyoma kwa haraka, kukua ni haraka." Aliandika Lulu.
Hii hapa baadhi ya hisia za mashabiki wake;
https://www.instagram.com/p/CFOnQY8Fetq/
Katisho kalikuwa high school piaπ
π€ kumbe ulikuwa ule Dem mbona hujatack in
Time flies, Diana alipotea wapi?
Adulting is hard
πππ₯ innocent Loulou then
Sasa niko na moja ya TJA ππππ. Tunazeeka
Watu wa group of schools same WhatsApp groupπ