18 September 2020 1 Min Read
Bunge la seneti kuanzisha mjadala kuhusu mtandao wa kijamii wa Tik Tok
by Grace Muia Habari
Bunge la seneti humu nchini litaanza mahalo mpya kuhusu utumiaji wa data wa mtandao wa kijamii wa Tik Tok, na wanamitandao wa humu nchini.
Hoja ilioletwa na seneta mteuliwa Iman Falhada Alhamisi wiki hii alisdai kuwa video zinazo pakiwa na mtandao huo zinaleta wasiwasi.
Mtandao huo kwa muda sasa umekuwa ukipokea ukosoaji jinsi data za wanamitandao katika mtandao huo zinatumika na hata ulinzi wake.