Huko Githurai, kulikuwa na polisi nzito na vijana walirudishwa nyuma na vijana wa pro -Raila.
Kikundi cha hustler kiliamua kutupa mawe kwa msafara wa Raila na kuendelea kuimba "Ruto na hustler" karibu mita 50 kutoka ambapo mkuu wa upinzani alikuwa akihutubia wafuasi.
Polisi walitumia vitoa machozi ili kuwatawanya vijana hao, walipokuwa wanapenya kuenda mahali Raila alikuwa nahutubia umati.
Raila alianza hotuba zake katika eneo la Roysambu ambapo alihutubia umati na kuwaelezea umuhimu wa BBI.