In Summary
  • Simba wa Mara Scarface aaga dunia akiwa na miaka 14

Simba anayedhaniwa kuwa mkubwa zaidi katika  mbuga ya MaasaiMara ya Kenya ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 14.

Scarface alipatikana amekufa nyumbani kwake Mara Ijumaa na mgambo.

Kifo chake kinasemekana kuwa cha sababu za asili.

Aliitwa Scarface, kwa sababu ya kovu katika moja ya macho yake.

Kulingana na Huduma ya Wanyamapori ya Kenya, saa saba jioni, Scarface alipumua pumzi yake ya mwisho.

Alikufa kwa amani bila usumbufu wowote kutoka kwa magari na fisi.

Mengi yafuata;

 

View Comments