In Summary
• Anataka mahakama kumlazimisha spika kuwa anampatia Sh200,000 kila mwezi za kukimu mahitaji ya mtoto huyo ambaye hajazaliwa bado
•Alidai kuwa amekuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanasiasa huyo aliyekuwa gavana wa Bungoma kwa kipindi cha miaka mitatu na kutokana na uhusiano huo akapata mimba