In Summary

•Uhamisho wa Jack Grealish kutoka Aston Villa kuenda Man City ndio ghali zaidi kuwahi kufanyika EPL.

Wachezaji waliogharimu bei ya juu zaidi katika EPL
Image: WILLIAM WANYOIKE

Wachezaji 10 waliogharimu bei ya juu zaidi katika EPL ni pamoja na:-

  • Jack Grealish (Aston Villa- Man City 2021 ) - Ksh15.3B
  • Romelu Lukaku (Inter- Chelsea 2021) - Ksh14.9B
  • Paul Pogba (Juventus- Man U 2016) - Ksh13.6B
  • Mykhailo Mudryk (Shakhtar Donetsk- Chelsea 2023) - Ksh 13.3B
  • Harry Maguire (Leicester-Man U 2019) - Ksh12.2B
  • Romelu Lukaku (Everton –Man U 2017) - Ksh11.5B
  • Virgil Van Dijk (Southampton-Liverpool 2018)- Ksh 11.5B
  • Jadon Sancho (Borrusia Dortmund 2021) Ksh 11.2B
  • Kai Havertz (Bayer Leverkusen – Chelsea 2020) Ksh 11B
  • Nicolas Pepe (Lille-Arsenal 2019) Ksh 11B
View Comments