27 April 2023 1 Min Read
Kipigo cha Aprili: Matokeo ya Chelsea tangu Lampard kurejea kama kocha wa muda
Tangu Lampard kuchukua usukani, Chelsea wameshiriki mechi 5 na kufunga bao moja tu huku wakifungwa mabao 9.
In Summary
• Chelsea wameshiriki mechi 5 chini ya Frank Lampard kama kocha na hawajaweza kushinda hata moja.