24 May 2023 1 Min Read
Mahrez, Drogba, Essien: Wachezaji wa Afrika walioshinda EPL mara nyingi zaidi
Chelsea ndio timu inaongoza kwa wachezaji wa Afrika ambao wameshinda EPL mara nyingi zaidi wakichezea miamba hao.
In Summary
• Riyad Mahrez na Kolo Toure ndio wachezaji wa pekee hadi sasa kuwahi kushinda EPL na timu mbili tofauti.