26 May 2023 1 Min Read
Makocha wa EPL wenye ufanisi mkubwa tangu 1992
Alex Ferguson ndiye kocha weney ufanisi mkubwa katika ligi hiyo baada ya kuwa usukani Manchester United kwa misimu 21 na kushinda EPL mara 13 nao.
In Summary
• Mourinho aliisaidia Chelsea kushinda mataji matatu katika misimu tofauti alipokuwa kocha wa timu hiyo mara mbili.