21 September 2023 1 Min Read
Haya ndio matakwa ya Jumuiya ya wasioamini katika uwepo wa Mungu Kenya kwa serikali
Jumuiya hiyo ikiongozwa na rais Harrison Mumia waliwahi omba kutengewa sikukuu ya kitaifa ili kutangaza wazi kutokuwepo kwa Mungu.
In Summary
• Hivi majuzi, Jumuiya hiyo ilitaka serikali kutekeleza sera ya kila mtu kuruhusiwa kuzaa mtoto mmoja tu.