In Summary

•Mwanamuziki wa bongofleva TID ambaye jina lake halisi ni Khalid Mohamed alizalwiwa jijini Dar es Salaam mwaka wa 1981.

•TID aliwahi kuhukumiwa kifungo cha mwaka mmoja mnamo 2008, alitumikia kifungo cha miezi minne jela kisha akaachiliwa.

Mfahamu msanii wa bongo Top in Dar (TID)
Image: ROSA MUMANYI
View Comments