24 April 2024 1 Min Read
Wanasoka wenye mabao mengi zaidi kwenye taaluma zao, CR7 na Messi wakiendeleza ushindani
Messi alivunja rekodi ya Ronaldo kwa kuwa mchezaji aliyefikisha mabao 830 kwa mechi chache zaidi - mechi 1056.
In Summary
• Ronaldo anaongoza orodha hiyo kwa kuwa mchezaji wa pekee anayefukuzia rekodi ya kufikisha mabao 900.