In Summary

• Wengine ambao wamehusika katika kamata-kamata ya polisi katika kipindi cha wiki mbili zilizopita ni watu maarufu katika jukwaa la X.

• Wengi wao ambao wamekamatwa kwa njia hiyo wamekuwa wakihusishwa na maandamano ya Gen Z dhidi ya mswada wa fedha wa 2024 ulitupiliwa mbali na rais

Image: WILLIAM WANYOIKE
View Comments