In Summary
•Wanaume ishirini na moja wameuawa katika jimbo lenye uhuru wa Somalia la Puntland baada ya kupatikana na hatia ya kuwa wanachama wa kundi la wanamgambo wa al-Shabab.
•Walihukumiwa na mahakama ya kijeshi huko Galkayo na kupigwa risasi na kikosi maalum kilichojihami kwa bunduki .