In Summary

 

  •  16 wameaga dunia leo 
  • Watu 1018 wamepatikana na virusi vya corona

 

Waziri wa afya Mutahi Kagwe Waziri wa afya Mutahi Kagwe

Watu 1018 wamepatikana na virusi vya corona baada ya sampuli 6,649 kupimwa katika saa 24 zilizopita . Idadi  hiyo inafikisha 51,851 idadi ya   visa vya ugonjwa huo nchini  na jumla ya sampuli zilizopimwa sasa ni 672,771. Kutoka visa hivyo 989 ni vya wakenya ilhali 29 ni raia wa kigeni .mgonjwa wa umri wa chini ni  mtoto wa miezi 9 ilhali wa umri wa juu ana miaka 96 .

Leo watu 426 wamepona ugonjwa huo na kufikisha 35,258 idadi ya jumla ya walipona hadi sasa 

Hata hivyo watu 16 wameaga dunia  na kufikisha 950 idadi ya walioangamizwa na virusi hivyo hadi sasa.

idadi ya visa vya corona katika kila kaunti leo
Image: Wizara ya Afya

 Wagonjwa 1060 wamelazwa katika hopitali mbali mbali nchini  ilhali 4,230 wapo katika mpango wa utunzi nyumbani . wagonjwa 36 wapo katika kitengo cha ICU45 Wagonjwa 1060 wamelazwa katika hopitali mbali mbali nchini  ilhali 4,230 wapo katika mpango wa utunzi nyumbani . wagonjwa 36 wapo katika kitengo cha ICU ilhali 45 wanasaidia kupumua na mashine

 

 

 

View Comments