In Summary
•Siku chache tu baada ya jamaa mmoja kukiri kuteka nyara, kunyonya damu na kuua kinyama angalau watoto 10, mwingine amekamatwa na kukiri kuwa amebaka na kuua kinyama wasichana watano wadogo.
•Mnyama huyo alifichua orodha ya wahasiriwa wake watano; Linda Cherono (13), Mary Elusa (14), Grace Njeri (12), Stacy Nabiso (10) na Lucy Wanjiru (15) na kupeleka wapelelezi kwenye maeneo ambayo alitekelezea kila kitendo.