In Summary
• Mkutano huo uliafiki kuongeza muda wa vyama vya kisiasa kuwasilisha majina ya wagombeaji wao kwa wadhifa wa urais na nyadhifa za ugavana hadi Mei 16.
• Miungano ya Azimio na Kenya kwanza ilikuwa imepinga makataa ya IEBC kuwa majina hayo yawasilishwe wiki hii na kuomba muda zaidi.
• Chebukati alivishauri vyama vya kisiasa kuhakikisha kuwa orodha zao za uteuzi zinatimiza matakwa ya usawa wa jinsia.