15 September 2022 1 Min Read
(Picha) Abdulswamad Nassir aapishwa gavana wa Mombasa
Nassir sasa ni gavana wa pili wa kaunti ya Mombasa baada ya Hassan Joho.
In Summary
• Abdulswamad Nassir ameapishwa rasmi kuwa gavana wa Mombasa.
Abdulswamad Nassir ameapishwa rasmi kuwa gavana wa Mombasa kuchukuwa nafasi ya Hassan Joho ambaye muda wake wa kuhudumu umekwisha.
Naibu Gavana wa Mombasa Francis Foleni Thoya ( Kushoto) na Gavana Abdulswamad Nassir
Image: ONYANGO OCHIENG'
Image: ONYANGO OCHIENG'
Nassir sasa ni gavana wa pili wa kaunti ya Mombasa, gavana wa kwanza Hassan Joho alihudumu kwa kipindi cha miaka 10.