(Picha) Abdulswamad Nassir aapishwa gavana wa Mombasa

Nassir sasa ni gavana wa pili wa kaunti ya Mombasa baada ya Hassan Joho.

Muhtasari

• Abdulswamad Nassir ameapishwa rasmi kuwa gavana wa Mombasa.

Abdulswamad Nassir akiapishwa kuwa gavana wa Mombasa. 15/9/2022.
Abdulswamad Nassir akiapishwa kuwa gavana wa Mombasa. 15/9/2022.
Image: ONYANGO OCHIENG'

Abdulswamad Nassir ameapishwa rasmi kuwa gavana wa Mombasa kuchukuwa nafasi ya Hassan Joho ambaye muda wake wa kuhudumu umekwisha.

Naibu Gavana wa Mombasa Francis Foleni Thoya ( Kushoto) na Gavana Abdulswamad Nassir
Naibu Gavana wa Mombasa Francis Foleni Thoya ( Kushoto) na Gavana Abdulswamad Nassir
Image: ONYANGO OCHIENG'

Nassir sasa ni gavana wa pili wa kaunti ya Mombasa, gavana wa kwanza Hassan Joho alihudumu kwa kipindi cha miaka 10.