In Summary
•Vipimo vya awali vilivyofanywa na maafisa wa afya ya umma vilitupilia mbali ugonjwa wa Kipindupindu.
•Maafisa hao walisema kuwa ulaji wa chakula kilichoathirika inaweza kuwa sababu ya wanafunzi hao kuhara.
•Vipimo vya awali vilivyofanywa na maafisa wa afya ya umma vilitupilia mbali ugonjwa wa Kipindupindu.
•Maafisa hao walisema kuwa ulaji wa chakula kilichoathirika inaweza kuwa sababu ya wanafunzi hao kuhara.