In Summary

 

  • Usitegemee mtazamo ama ushauri wa mtu mmoja 
  • Jifanyie uamuzi na heshimu  msimamo wa mwingine 
Kauli ya Siku ,Jumatano,14 Oktoba 2020
Image: Yusuf Juma

 

Kesho anayoona mwenzio sio yako

 

Maelezo:Mtazamo wako haufai kuwa  sheria,kila mmoja anaweza kuwa na mtazamo tofauti kuhusu jambo lolote

 

The video could not be loaded.

Video from YusufJuma
View Comments