15 October 2020 1 Min Read
Kauli ya Siku, Alhamisi 15 Oktoba
Kila Mtu ana sababu mbili za kufanya jambo;Sababu nzuri na sababu halisi
Usifikiri kwamba watu hufanya jambo kwa ajili ya lengo moja ,kunao wanaofanya wakijua manufaa kwao
In Summary
- Lazima kuna dhamira zaidi ya moja katika kila anachofanya mtu
Kila Mtu ana sababu mbili za kufanya jambo;Sababu nzuri na sababu halisi
The video could not be loaded.
Video from YusufJuma