19 May 2021 1 Min Read
WAKENYA UGHAIBUNI
Mwanasoka wa Kenya ajiunga na Arsenal
Ben Messo, 8, amejiunga na shule ya kufunza kandanda ya Arsenal mjini London
Mwanasoka mmoja Mkenya mwenye umri wa miaka nane amejiunga shule ya kufunza kandanda ya Arsenal nchini Uingereza.
Ben Messo aliyeandamana na babake Eugene Messo alitia saini mkataba na kilabu hicho siku ya Jumanne. Messo aliweza kukutana na mchezaji wa kitambo wa klabu hiyo na ambaye ndiye kocha wa shule hiyo ya kandanda, Per Mertasaker na baadhi ya wanafunzi wengine wa soka.
Hizi hapa picha za Messo akiwa shukeni humo
- Ben Messo
- Ben Messo
- Ben Messo
- Ben Messo