In Summary
•Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 aliwaacha wengi vinywa wazi baada ya kufungia klabu yake ya Al-Duhail mabao matano kwenye mechi yake ya kwanza baada ya kupona jeraha.
•Kwa sasa klabu ya Olunga ya Al-Duhail iko katika nafasi ya pili na pointi 12 huku Olunga aliwa anaongoza jedwali la wafungaji bora akiwa amefunga jumla ya mabao 7.