Last Updated On 04 December 2020 1 Min Read
Kuna tabia ambazo waafrika hawaziachi
Tabia za Wakenya ama Waafrika Utazijua tu kupitia mambo haya...#PodiyaYusufJuma
In Summary
- Zijue zote tabia ambazo wafafrika hawaziachi
- Kuanzia mazoea ya kufanya mambo kwa njia fulani hadi tabia za kuchekesha ,waafrika wana mengi ya vituko
Kuna mabo ambayo utayaona tu hapa nyumbani -Mengine hayaishi hata uishi wapi na urudi na ndio baadhi ya tabia ama mitindo inayotutambua kama waafrika .Katika podi hii leo tunapata kicheko tukikumbuka baadhi ya vitu hivi ambavyo havituachi ama tumekataa kuviacha .
The video could not be loaded.
Kuna mabo ambayo utayaona tu hapa nyumbani -Mengine hayaishi hata uishi wapi na urudi na ndio baadhi ya tabia ama mitindo inayotutambua kama waafrika .Katika podi hii leo tunapata kicheko tukikumbuka baadhi ya vitu hivi ambavyo havituachi ama tumekataa kuviacha .