logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Akon ananitambua sasa,'Akothee asema baada ya kuwa miongoni mwa wasanii tajiri Afrika

Miongoni mwa wasanii walioorodheshwa ni Wizkid,Davido,Burnaboy, huku msanii Akothee akiwa nambari 15.

image
na Radio Jambo

Makala12 May 2021 - 13:16

Muhtasari


  • Orodha ya wasanii tajiri Afrika imetolewa na imekuwa ikisambaa sana kwenye mitandao ya kijamii
  • Miongoni mwa wasanii walioorodheshwa ni Wizkid,Davido,Burnaboy, huku msanii Akothee akiwa nambari 15
  • Akothee ajisifia baada ya kutajwa miongoni mwa wasanii tajiri Afrika
akoth stylish 1 (1)

Orodha ya wasanii tajiri Afrika imetolewa na imekuwa ikisambaa sana kwenye mitandao ya kijamii.

Miongoni mwa wasanii walioorodheshwa ni Wizkid,Davido,Burnaboy, huku msanii Akothee akiwa nambari 15.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram Akothee alifurahia matokeo hayo huku akisema kwamba msanii Akon kutoka Marekani amemtambua sasa.

"KENYA MTAJITETEA MKIWA UPANDE GANI. 40 looks like this 🤣🤣

Msanii tajiri Afrika,hawajasema mwanamke  , wamesema msanii tajiri omesikia hiyo i ?Wakenya hawatakubali 🤣🤣🤣🤣 watasema pia  bilgatesni tajiri na hasemi ! wewe ulijuaje ?Watasema nimelipa Forbes.🤣🤣lakini sio kenya waliniuza kitambo sanawalinibadilisha na wasanii wengine ambao huwa wanawatamani.

Walinipeana na watoto wangu pamoja na mbwa wangu🤣🤣🤣🤣🤣SHIDA ni AKOTHEE tuu ndio ako availableWatado 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,"Akothee Aliandika.

Mwanabiashara huyo alipakia picha ya orodha hiyo, huku akisema kuwa msanii Akon anamtambua sasa.

Hii hapa orodha ya hiyo;

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved