logo

NOW ON AIR

Listen in Live

"Ningependa kujaribu kiumbe tofauti" Willy Paul asema

Mwanamuziki Willy Paul amewashangaza wengi baada ya kutangaza kuwa angependa kujaribu tendo la ndoa na mgeni wa anga ‘aliens’

image
na Radio Jambo

Habari21 May 2021 - 02:50

Muhtasari


•“Nimechoka, ningependa kushuhudia kitu tofauti, mkiona ‘alien’ mahali inatembea nijulisheni” Willy Paul aliambia mashabiki kupitia ukurasa wake wa Instagram

Willy Paul

Mwanamuziki mashuhuri Wilson Radido almaarufu kama Willy Paul amewashangaza wengi baada ya kutangaza kuwa angependa kujaribu mapenzi na mgeni wa anga almaarufu kama ‘aliens’

Msanii huyo ambaye alipata umaarufu kwa kuimba nyimbo za injili kabla yake kurudi nyuma amewacha mashabiki vinywa wazi baada ya kudai kuwa ameshuhudia wanawake wa aina yote na kwa sasa angependa atafutiwe kiumbe wa anga.

Nimechoka, ningependa kushuhudia kitu tofauti, mkiona ‘alien’ mahali inatembea nijulisheni” Willy Paul aliambia mashabiki kupitia ukurasa wake wa Instagram. Soma baadhi ya hisia za Wakenya kwenye chapisho la Paul hapa chini

Mwanamuziki huyo ameendelea kuzungukwa na drama tele toka abadilishe mtindo wake wa usanii.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved