logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mwanasosholaiti Manzi wa Kibera asema kuwa inamgharimu mwanaume Sh700,000 kulala naye usiku mmoja

La kushangaza zaidi ni kuwa amekiri kuwa kufikia sasa amelala na zaidi ya watu 475

image
na Radio Jambo

Habari29 June 2021 - 07:38

Muhtasari


•Mwanasoshalaiti huyo ambaye anasifiwa sana kwa unene wa makalio yake pia amesema kuwa analipisha elfu tano kwa yeyote ambaye anatamani kugusa sehemu yake ya mwili yoyote .kwa mara moja.

•.Amesema kuwa alipoteza ubikra wake siku ya kuadhimisha kufikisha miaka 27.

•Manzi wa Kibera alipata umaarufu mkubwa aliposhirikishwa kwenye kipindi cha  'Wife Material' chake mcheshi Eric Omondi.

Mwanasoshalaiti Manzi wa Kibera

Mwanasoshalaiti Wambui almaarufu kama Manzi wa Kibera kutoka Kibera amewashangaza wanamitandao baada ya kuwa inamgharimu mtu shilingi laki saba ili kulala usiku mmoja naye

Mwanasoshalaiti huyo ambaye anasifiwa sana kwa unene wa makalio yake pia amesema kuwa analipisha elfu tano kwa yeyote ambaye anatamani kugusa sehemu yake ya mwili yoyote  mara moja tu

Akijibu mashabiki wake kwenye kipindi cha maswali na majibu katika mtandao wa Instagram Manzi ya Kibera amesema kuwa yeye hupokea malipo kwanza kabla ya kuhudumia wateja wake

.La kushangaza zaidi ni kuwa amekiri kuwa kufikia sasa amelala na zaidi ya watu 475. Amesema kuwa alipoteza ubikra wake siku ya kuadhimisha kufikisha miaka 27.

Mwanasoshalaiti huyo ambaye anajiita 'Vera mpya' amesema kuwa anapendezwa sana na mwanamuziki Akothee

Ameeleza kuwa alikuwa mfuasi mkubwa wa kanisa hadi kuteleza kwake. Hata hivyo, hajafichua sababu ya kuteleza kwake.

Manzi wa Kibera alipata umaarufu mkubwa aliposhirikishwa kwenye kipindi cha  'Wife Material' chake mcheshi Eric Omondi.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved