logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Tafadhali tuangalie, haswa msichana wako,'Tedd Josiah amkumbuka mkewe

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram Tedd alimshukuru mkewe

image
na Radio Jambo

Habari30 September 2021 - 13:30

Muhtasari


  • Mzalishaji Tedd Josiah kupitia kwenye ukurasa wae wa instagram ameadhimisha miaka 4 baada ya kumpoteza mkewe Regina Katar

Mzalishaji Tedd Josiah kupitia kwenye ukurasa wae wa instagram ameadhimisha miaka 4 baada ya kumpoteza mkewe Regina Katar.

Regina aliaga mwaka wa 2017 na kuacha kifungua mimba wake.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram Tedd alimshukuru mkewe, na kumwambia awatazame haswa mwanawe.

"Huku ukiendelea kupumzika na malakik, tafadhali tuangalie haswa msichana wako Jay Jay maarufu Gummer bear

Maisha lazima yaendelee hata ikiwa umepata kilema katika hatua zako endelea kupumzika mama tunakupenda," Tedd Aliandika.

Hizi hapa baadhi ya jumbe za mashabiki;

poeticken: Heaven rejoices . Nwanyioma (Amazing woman) Keep resting Angel ❤️❤️

osslynodede: She was indeed beautiful ❤️,,may she continue resting in perfect peace 🕊️

onejikospeaks: ❤️❤️❤️ she is your guardian angel ❤️❤️❤️

bettykimeu: Beautiful Mama Bear. May she continue Resting with the Angels

christineachieng23: Wow nyakoni ne jaber nyasachiel😢😍😍 Rest in power beautiful girl.🔥

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved