logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Hatujasuluhisha chochote,'Carrol Sonie azungumza baada ya madai ya kurudiana na Mulamwah

Pia amesema kwamba kama mcheshi huyo anataka kusuluhisha mambo yao lazima aombe msamaha

image
na Radio Jambo

Habari12 April 2022 - 15:32

Muhtasari


  • Pia amesema kwamba kama mcheshi huyo anataka kusuluhisha mambo yao lazima aombe msamaha mitandaoni
Carol Muthoni katika studio za Radio Jambo

Dakika chache baada ya mcheshi Mulamwah kupakia viideo akiwa na baby mama wake Sonie na mashabiki kugadhabishwa na kitendo chao huku wengi wakisema ni kiki, kupitia kwenye ukrasa wa Sonie alitoa taarifa na kusema kwamba hawajarudiana na Mulamwah.

Sonie alisema kwamba alikuwa ameenda 'Photoshoot' na wala hakufahamu kwamba atapatana na Mulamwah.

Pia amesema kwamba kama mcheshi huyo anataka kusuluhisha mambo yao lazima aombe msamaha mitandaoni.

"Nilipomuuliza anataka nini hapo aliniambia kwamba anataka kuomba msamaha, nilisisitiza kwamba anapaswa kuomba msamha mitandaoni lakini aliniambia anataka tuongee kwanza."

Hii hapa taarifa yake;


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved