logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Shakib Cham Atoa Onyo Kali Kwa Wanaoeneza Uvumi Kwamba Anam’cheat Mkewe, Zari

"Nataka kuweka mambo wazi, baadhi ya wanawake ni wateja wa thamani na wafuasi wa ukusanyaji wa King Cham. Hawajihusishi nami kimahaba, wala sina nia yoyote ya kujihusisha nao."

image
na MOSES SAGWEjournalist

Burudani02 December 2024 - 07:19

Muhtasari


  • Zari na Shakib wameoana kwa mwaka mmoja, baada ya kufunga ndoa ya Kiislamu – nikkah – iliyofanyika faraghani mwaka jana.
  • Baadae mwezi Oktoba, waliweka mambo wazi kwa kuandaa sherehe kubwa ya harusi nchini Afrika kusini.
  • Harusi hiyo ya kifahari ilihudhuriwa na watu mashuhuri na baadhi ya wasanii wa Young Famous na Afrika.

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved