logo

NOW ON AIR

Listen in Live

“Nitamuita Furaha”: Harmonize Aomba Mungu Kumjaalia Mtoto Wa Kike 2025

Licha ya kutendwa kimapenzi mara kadhaa, Harmonize yuko mbioni tena kujaribu karata tata katika uwanja wa mapenzi, safari hii akiwa na tumaini la kutoka na mtoto wa kike, na si mikono mitupu.

image
na MOSES SAGWEjournalist

Burudani10 January 2025 - 13:11

Muhtasari


  • Hata hivyo, Harmonize hakuweza kubainisha ni jinsi gani atapata mtoto huyo bila ya kuwa na mpenzi, lakini kama wanavyosema, penye nia pana njia.
  • Msanii huyo hajakuwa na bahati kimapenzi kwani amekuwa akiingia na kutoka katika mapenzi licha ya kuonekana kujitutumua.