logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Rais Kenyatta asema haya kuhusu azma ya Ruto kumrithi#PodiyaYusufJuma

Kenyatta amewaambia kwamba BBI sio ya kumpiga vita kiongozi yeyote au kumpiga jeki mwingine

image
na Radio Jambo

Dakia-udaku29 January 2021 - 16:39

Muhtasari


  • Kenyatta amewaambia kwamba BBI sio ya kumpiga vita kiongozi yeyote au kumpiga jeki mwingine
  • Rais Uhuru Kenyatta ameanza kuchukua hatua kukabiliana na wimbi la mahasla kwa kukutana na viongozi wa eneo la mlima kenya .

Rais Uhuru Kenyatta ameanza kuchukua hatua kukabiliana na wimbi la mahasla kwa kukutana na viongozi wa eneo la mlima kenya .

 

Kenyatta amewaambia kwamba BBI sio ya kumpiga vita kiongozi yeyote au kumpiga jeki mwingine .Amesema hajamuambia yeyote kwamba hatomuunga mkono naibu wa rais William Ruto


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved