logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Ngina Kenyatta ajifungua

Ngina alionekana katika hospitali moja hapa jijini Nairobi akiwa ameandamana na mama yake, Margaret Kenyatta.

image
na

Habari17 September 2021 - 08:50

Muhtasari


• Huyu  ni mjukuu wa tatu wa rais Uhuru Kenyatta na mama wa taifa Margaret Kenyatta.

Ngina Kenyatta bintiye rais Uhuru Kenyatta

@mpasho

Ngina Kenyatta, ambaye ni binti wa rais Uhuru Kenyatta amejifungua mtoto.

Ngina alionekana katika hospitali moja hapa jijini Nairobi akiwa ameandamana na mama yake, Margaret Kenyatta.

Kulingana na duru katika jarida la Mpasho Ngina alikuwa tayari hospitalini akijifungua.

Ngina hajaonekana katika umma kwa miezi kadhaa na kuibua maswali kuhusu alikokuwa.

Duru pia ziliarifu kuwa Ngina ameolewa kwa mwana wa bwenyenye maarufu nchini Kenya.

Huyu sasa atakuwa mjukuu wa tatu wa rais Uhuru Kenyatta na mama wa taifa Margaret Kenyatta.

Tunamtakia heri njema.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved