logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Sijawahi tia unajisi nchini kenya-Rose Muhando

Kwa mujibu wa Rose Muhando, hajawahi kukutana na mwanablogu huyo na hamjui.

image
na Radio Jambo

Habari15 February 2022 - 09:12

Muhtasari


  • Msanii wa njili Rose Muhando,amejitokeza wazi na kukataa madai kwamba amelala na mwanablogu Abraham Mutai

Msanii wa njili Rose Muhando,amejitokeza wazi na kukataa madai kwamba amelala na mwanablogu Abraham Mutai.

Kupitia simu iliyofanywa na kituo kimoja cha  redio nchini , mwimbaji maarufu alikataa kuwa na wakati mzuri na mfanyakazi wa mtandaoni katika moja ya makaazi.

Kwa mujibu wa Rose Muhando, hajawahi kukutana na mwanablogu huyo na hamjui.

Alikuwa kimya wakati uvumi ulipoanza  lakini alichagua kukaa kimya kwa sababu yeye hajibu  madai ya kijinga, aliongeza kwa kusema, kwamba mtu ambaye alieneza uvumi huo labada anamtamani.

"Mimi sijali na sijutii sababu sina hatia na wala sijawai kutia unajisi katika ardhi ya Kenya. Ajipange upya sababu amefeli

Huwa sijibu madai ya uongo kwa maana ni ya kijinga,simfahamu Abraham Mutai, na waa sijawahi lala naye Aseme tu kama ananipenda hapo sawa 

Kam walioniona kwenye vyumba vya kulala sina shida, kwa maana nikija Kenya lazima niende kwa vyumba vya kulala sina nyumba Kenya na kama wana ushahidi walete," Rose Muhando alijibu.

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved