logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Zari asherehekea kumaliza 2024 na mumewe Shakib, akiri masaibu ya ndoa yao

Zari amesisitiza upendo wake usio na mwisho kwa kijana huyo wa miaka 33.

image
na Samuel Mainajournalist

Dakia-udaku03 January 2025 - 09:54

Muhtasari


  •  Zari alidokeza kwamba waligombana sana, wakanyamaziana kimya, na kuachana mara kadhaa kadri mwaka ulivyosonga.
  •  Mama huyo wa watoto watano aliambatanisha taarifa yake na picha yake na Shakib ndani ya bwawa la kuogelea.

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved