logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mgahawa mmoja nchini Japan wanunua samaki kwa shilingi milioni 169.9

Samaki huyo aina wa jodari anakadiriwa kuwa na uzani wa kilo sawia na pikipiki

image
na Brandon Asiema

Dakia-udaku06 January 2025 - 15:27

Muhtasari


  • Samaki huyo aliuzwa kwenye mnada ulionza saa kumi na moja asubuhi.


Mgahawa na kuandaa chakula cha jamii ya Japan cha Sushi umesema kwamba umelipa takribani shilingi milioni 169 kwa samaki aina ya jodari kwenye bei ya mnada.

Samaki huyo aliyenunuliwa anakadiriwa kuna na uzani wa kilo sawia na uzito wa pikipiki itatolewa kwa mikahawa iliyo chini ya uongozo wa kampuni ya Onodera Group ikiweno mkahawa wa Nadaman na Ginza Onodera’

Kwa mujibu wa gazeti la Japan Times la nchini humo, samaki huyo wa aina ya Bluefin tuna aliuzwa kwa bei ya juu Zaidi ya mara 1.8 zaidi ya bei ya mwaka jana katika mnada huo.


Kwenye mnada huo ulioanza mwendo wa saa kumi na moja asubuhi, kampuni ya Yamayuki ambayo ni mpatanishi katika soko la Toyosu, ilishinda zabuni ya samaki huyoikiwa ni mwaka wao wa tano mfululizo kupata jodari wa bei ya juu zaidi.

Akizungumza wakati wa kununua samaki huyo, rais wa Yukitaka Yamaguchi alisema kuwa samaki huyo alivutia kutokana na ubora wake wa kipekee


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved