logo

NOW ON AIR

Listen in Live

(+Video) Bahati awachilia kibao cha pili kwenye albamu yake 'Love like this'

Ameweza, Hajaweza?

image
na Radio Jambo

Habari21 June 2021 - 09:45

Muhtasari


•Mapema wiki iliyopita aliwachilia kibao 'Pete Yangu' ambacho alishirikisha Nadia Mukami na kimeendelea kupokelewa vizuri sana huku kikiandikisha zaidi ya watu 1.3M ambao wametazama ndani ya kipindi cha wiki moja tu,

Bahati

Baada ya kuzindua albamu yake Jumapili ya tarehe 13 mwezi Juni, mwanamuziki wa nyimbo za injili na za mapenzi Kevin Bahati almaarufu kama 'mtoto wa mama' anawachilia kibao kimoja kimoja kutoka kwenye albamu hiyo.

Mapema wiki iliyopita aliwachilia kibao 'Pete Yangu' ambacho alishirikisha Nadia Mukami na kimeendelea kupokelewa vizuri sana huku kikiandikisha zaidi ya watu 1.3M ambao wametazama ndani ya kipindi cha wiki moja tu,

Baada ya wiki moja amewachilia kibao cha pili "Take it slow" (ipeleke kwa mwendo wa pole pole) ambacho hajashirikisha yeyote.

Wimbo huo ni wa mapenzi. Utazame hapa.

Je ameweza, hajaweza?


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved